.

.

.

.

Wednesday, 21 June 2017

DIAMOND KAYAZUNGUMZA HAYA KUHUSU MIMBA YA HAMISA


Mwimbaji wa Bongofleva kutoka WCB Diamond Platnumz amefunguka kuhusu story ambayo ilimake headline akidaiwa kuwa mapenzini na Hamisa Mobetto ambapo inadaiwa amempa ujauzito Mwanamitindo na kuonekana kuwa karibu na mama yake Diamond.
Diamond amesema hakuwai kuwa na uhusiano na Hamisa akisema hafahamu lolote kuhusu ujauzito bali ni story anazozisikia tu:>>>“Kuhusu mimba ya Hamisa mimi sijawahi kuwa na mahusiano naye. Hizi ni stori ambazo kila siku hata mimi nazisikia.
“Toka nimefanya na Hamisa Mobetto video ya Salome watu wameongea kweli lakini mimi sina mahusiano naye.” – Diamond Platnumz.
Share:

0 comments:

Post a Comment

DRONE CAMERA KWA BIE POWA

tomtop.com INT

PHONES

tomtop.com INT

.

https://ad.admitad.com/shuffle/45eb471090/

.

Total Pageviews

PATA SIMU NZURI KUTOKA NJE

Aliexpress INT

Labels